Ilikuwa siku kama nyingine wakati nilipokuwa na tamaa ya kukuuliza:
-
“Je, Bwana unaishi wapi?
-
“Njoo uone! wewe unanitafuta? Njoo kwangu na utaweza kuona mahali ninapoishi.”
“Utakutana nami katika ukimya, utaweza kuongea nami,
uso kwa uso kwa njia ya sala.”
-
“Nakusubiri, njoo! Nawe utaweza kutambua maana ya kweli ya maisha yako ambayo wewe unatamani kuyapata”.
Jumuiya ya masista Wa-ursula wa Mkiwa inakusubiri…